×

Alif Lam Ra. (A. L. R). Hizi ni Aya za Kitabu na 15:1 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-hijr ⮕ (15:1) ayat 1 in Swahili

15:1 Surah Al-hijr ayat 1 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-hijr ayat 1 - الحِجر - Page - Juz 14

﴿الٓرۚ تِلۡكَ ءَايَٰتُ ٱلۡكِتَٰبِ وَقُرۡءَانٖ مُّبِينٖ ﴾
[الحِجر: 1]

Alif Lam Ra. (A. L. R). Hizi ni Aya za Kitabu na Qur'ani inayo bainisha

❮ Previous Next ❯

ترجمة: الر تلك آيات الكتاب وقرآن مبين, باللغة السواحيلية

﴿الر تلك آيات الكتاب وقرآن مبين﴾ [الحِجر: 1]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
(Alif, Lām, Rā) Yametangulia maelezo kuhusu herufi zilizokatwa na kutengwa. Hizo ni aya tukufu miongoni mwa aya za Kitabu kitukufu kilichoteremshwa kwa Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukiye. Nazo ni aya za Qur’ani zenye kufafanua kweli kwa matamko mazuri zaidi na yaliyo wazi zaidi na yenye kuonyesha zaidi makusudio. Kitabu na Qur’ani ni kitu kimoja ; na hapa Mwenyezi Mungu Ameyakusanya pamoja majina mawili
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek