Quran with Swahili translation - Surah Maryam ayat 53 - مَريَم - Page - Juz 16
﴿وَوَهَبۡنَا لَهُۥ مِن رَّحۡمَتِنَآ أَخَاهُ هَٰرُونَ نَبِيّٗا ﴾
[مَريَم: 53]
﴿ووهبنا له من رحمتنا أخاه هارون نبيا﴾ [مَريَم: 53]
Abdullah Muhammad Abu Bakr Na tulimtunukia Mūsā, kutokana na rehema zetu, ndugu yake Hārūn akawa Nabii mwenye kumtilia nguvu na kumsaidia |