×

Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio kuwa Waumini 26:121 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ash-Shu‘ara’ ⮕ (26:121) ayat 121 in Swahili

26:121 Surah Ash-Shu‘ara’ ayat 121 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ash-Shu‘ara’ ayat 121 - الشعراء - Page - Juz 19

﴿إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَأٓيَةٗۖ وَمَا كَانَ أَكۡثَرُهُم مُّؤۡمِنِينَ ﴾
[الشعراء: 121]

Hakika katika haya ipo Ishara, lakini si wengi wao walio kuwa Waumini

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن في ذلك لآية وما كان أكثرهم مؤمنين, باللغة السواحيلية

﴿إن في ذلك لآية وما كان أكثرهم مؤمنين﴾ [الشعراء: 121]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika katika maelezo ya Nūḥ na yale yaliyokuwa ya kuokolewa Waumini na kuangamizwa wakanushaji ni alama na ni zingatio kubwa kwa waliokuja baada yao. Na wengi wa wale waliokisikia kisa hiki hawakuwa ni wenye kumuamini Mwenyezi Mungu, Mtume Wake na sheria Zake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek