×

Hichi ni Kitabu kilicho pambanuliwa Aya zake, cha kusomwa kwa Kiarabu kwa 41:3 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Fussilat ⮕ (41:3) ayat 3 in Swahili

41:3 Surah Fussilat ayat 3 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Fussilat ayat 3 - فُصِّلَت - Page - Juz 24

﴿كِتَٰبٞ فُصِّلَتۡ ءَايَٰتُهُۥ قُرۡءَانًا عَرَبِيّٗا لِّقَوۡمٖ يَعۡلَمُونَ ﴾
[فُصِّلَت: 3]

Hichi ni Kitabu kilicho pambanuliwa Aya zake, cha kusomwa kwa Kiarabu kwa watu wanao jua

❮ Previous Next ❯

ترجمة: كتاب فصلت آياته قرآنا عربيا لقوم يعلمون, باللغة السواحيلية

﴿كتاب فصلت آياته قرآنا عربيا لقوم يعلمون﴾ [فُصِّلَت: 3]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Ni Kitabu kilichobainishwa aya zake ubainifu uliotimia, na yakafafanuliwa maana yake na hukumu zake, ikiwa ni Qur’ani ya Kiarabu iliyofanywa nyepesi kuielewa kwa watu wanaoijua lugha ya Kiarabu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek