Quran with Swahili translation - Surah An-Naba’ ayat 26 - النَّبَإ - Page - Juz 30
﴿جَزَآءٗ وِفَاقًا ﴾ 
[النَّبَإ: 26]
﴿جزاء وفاقا﴾ [النَّبَإ: 26]
| Abdullah Muhammad Abu Bakr Watakuwa wanalipwa kwa hilo malipo ya sawa yanayolingana na vitendo vyao walivyovitenda duniani |