×

Na wanasema: Ahadi hii itakuwa lini, ikiwa nyinyi mnasema kweli 34:29 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Saba’ ⮕ (34:29) ayat 29 in Swahili

34:29 Surah Saba’ ayat 29 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Saba’ ayat 29 - سَبإ - Page - Juz 22

﴿وَيَقُولُونَ مَتَىٰ هَٰذَا ٱلۡوَعۡدُ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ ﴾
[سَبإ: 29]

Na wanasema: Ahadi hii itakuwa lini, ikiwa nyinyi mnasema kweli

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ويقولون متى هذا الوعد إن كنتم صادقين, باللغة السواحيلية

﴿ويقولون متى هذا الوعد إن كنتم صادقين﴾ [سَبإ: 29]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na hawa washirikina wanasema kwa njia ya shere, «Ni lini wakati wa Ahadi hii ambayo unatuahidi kuwa Mwenyezi Mungu Atatukusanya ndani yake kisha Ahukumu baina yetu, iwapo nyinyi ni wakweli katika kile mlichotuahidi kwacho?»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek