×

Basi maneno gani baada ya haya watayaamini 77:50 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Mursalat ⮕ (77:50) ayat 50 in Swahili

77:50 Surah Al-Mursalat ayat 50 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Mursalat ayat 50 - المُرسَلات - Page - Juz 29

﴿فَبِأَيِّ حَدِيثِۭ بَعۡدَهُۥ يُؤۡمِنُونَ ﴾
[المُرسَلات: 50]

Basi maneno gani baada ya haya watayaamini

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فبأي حديث بعده يؤمنون, باللغة السواحيلية

﴿فبأي حديث بعده يؤمنون﴾ [المُرسَلات: 50]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Iwapo wao hawataiamini hii Qur’ani, basi wataamini kitabu gani na maneno gani baada yake? Na Qur’ani yenyewe ni Kitabu kilichobainisha kila kitu, kilicho wazi katika hekima zake, hukumu zake na habari zake, chenye kushinda katika matamko yake na maana yake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek