×

Wanao zua uwongo ni wale tu wasio ziamini Ishara za Mwenyezi Mungu. 16:105 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nahl ⮕ (16:105) ayat 105 in Swahili

16:105 Surah An-Nahl ayat 105 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nahl ayat 105 - النَّحل - Page - Juz 14

﴿إِنَّمَا يَفۡتَرِي ٱلۡكَذِبَ ٱلَّذِينَ لَا يُؤۡمِنُونَ بِـَٔايَٰتِ ٱللَّهِۖ وَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡكَٰذِبُونَ ﴾
[النَّحل: 105]

Wanao zua uwongo ni wale tu wasio ziamini Ishara za Mwenyezi Mungu. Na hao ndio waongo

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إنما يفتري الكذب الذين لا يؤمنون بآيات الله وأولئك هم الكاذبون, باللغة السواحيلية

﴿إنما يفتري الكذب الذين لا يؤمنون بآيات الله وأولئك هم الكاذبون﴾ [النَّحل: 105]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kwa hakika wanaozua urongo ni wale wasiomuamini Mwenyezi Mungu na aya Zake, na wao ndio warongo kwa neno lao hilo. Ama Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukiye, anayemuamini Mola wake na kumnyenyekea, haiwezekani kwake yeye kumkanusha Mwenyezi Mungu na kumsingizia Asiyoyasema
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek