×

Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni 2:23 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Baqarah ⮕ (2:23) ayat 23 in Swahili

2:23 Surah Al-Baqarah ayat 23 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Baqarah ayat 23 - البَقَرَة - Page - Juz 1

﴿وَإِن كُنتُمۡ فِي رَيۡبٖ مِّمَّا نَزَّلۡنَا عَلَىٰ عَبۡدِنَا فَأۡتُواْ بِسُورَةٖ مِّن مِّثۡلِهِۦ وَٱدۡعُواْ شُهَدَآءَكُم مِّن دُونِ ٱللَّهِ إِن كُنتُمۡ صَٰدِقِينَ ﴾
[البَقَرَة: 23]

Na ikiwa mna shaka kwa hayo tuliyo mteremshia mja wetu basi leteni sura moja ya mfano wake, na muwaite mashahidi wenu badala ya Mwenyezi Mungu, ikiwa mnasema kweli

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وإن كنتم في ريب مما نزلنا على عبدنا فأتوا بسورة من مثله, باللغة السواحيلية

﴿وإن كنتم في ريب مما نزلنا على عبدنا فأتوا بسورة من مثله﴾ [البَقَرَة: 23]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na mkiwa, enyi makafiri, muna shaka juu ya Qurani tuliyomteremshia mja wetu Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani imshukie, na mkadai kuwa haitoki kwa Mwenyezi Mungu, basi leteni sura moja inayofanana na sura ya Qurani, na takeni msaada kutoka kwa yoyote mnayemuweza ili awasaidie, iwapo nyinyi ni wakweli katika madai yenu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek