×

Na fuata uliyo funuliwa kwa wahyi kutokana na Mola wako Mlezi. Hakika 33:2 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Ahzab ⮕ (33:2) ayat 2 in Swahili

33:2 Surah Al-Ahzab ayat 2 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Ahzab ayat 2 - الأحزَاب - Page - Juz 21

﴿وَٱتَّبِعۡ مَا يُوحَىٰٓ إِلَيۡكَ مِن رَّبِّكَۚ إِنَّ ٱللَّهَ كَانَ بِمَا تَعۡمَلُونَ خَبِيرٗا ﴾
[الأحزَاب: 2]

Na fuata uliyo funuliwa kwa wahyi kutokana na Mola wako Mlezi. Hakika Mwenyezi Mungu anazo khabari ya mnayo yatenda

❮ Previous Next ❯

ترجمة: واتبع ما يوحى إليك من ربك إن الله كان بما تعملون خبيرا, باللغة السواحيلية

﴿واتبع ما يوحى إليك من ربك إن الله كان بما تعملون خبيرا﴾ [الأحزَاب: 2]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na uyafuate yale uliyoletewa wahyi kutoka kwa Mola wako, ya Qur’ani na Sunnah. Hakika Mwenyezi Mungu Anayaona mnayoyafanya na ni Mwenye kuwalipa kwa hayo, hakuna kitu kinachofichamana Kwake katika hayo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek