×

Basi anapo wapa mwana mwema, wanamfanyia washirikina Mwenyezi Mungu katika kile kile 7:190 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:190) ayat 190 in Swahili

7:190 Surah Al-A‘raf ayat 190 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 190 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿فَلَمَّآ ءَاتَىٰهُمَا صَٰلِحٗا جَعَلَا لَهُۥ شُرَكَآءَ فِيمَآ ءَاتَىٰهُمَاۚ فَتَعَٰلَى ٱللَّهُ عَمَّا يُشۡرِكُونَ ﴾
[الأعرَاف: 190]

Basi anapo wapa mwana mwema, wanamfanyia washirikina Mwenyezi Mungu katika kile kile alicho wapa. Mwenyezi Mungu ametukuka na huko kushirikisha kwao

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فلما آتاهما صالحا جعلا له شركاء فيما آتاهما فتعالى الله عما يشركون, باللغة السواحيلية

﴿فلما آتاهما صالحا جعلا له شركاء فيما آتاهما فتعالى الله عما يشركون﴾ [الأعرَاف: 190]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mwenyezi Mungu Alipowaruzuku, yule mume na mke, mtoto mwema walimfanyia Mwenyezi Mungu washirika katika mtoto yule ambaye Mwenyezi Mungu Alipwekeka katika kumuumba wakamfanya ni mja wa asiyekuwa Mwenyezi Mungu; Ametukukuka Mwenyezi Mungu na Ameepukana na kila mshirika
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek