×

Ati wanawafanya viumbe kuwa ni washirika wa Mwenyezi Mungu, nao hawaumbi, bali 7:191 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:191) ayat 191 in Swahili

7:191 Surah Al-A‘raf ayat 191 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 191 - الأعرَاف - Page - Juz 9

﴿أَيُشۡرِكُونَ مَا لَا يَخۡلُقُ شَيۡـٔٗا وَهُمۡ يُخۡلَقُونَ ﴾
[الأعرَاف: 191]

Ati wanawafanya viumbe kuwa ni washirika wa Mwenyezi Mungu, nao hawaumbi, bali wao ndio wanaumbwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أيشركون ما لا يخلق شيئا وهم يخلقون, باللغة السواحيلية

﴿أيشركون ما لا يخلق شيئا وهم يخلقون﴾ [الأعرَاف: 191]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Je, washirikina hawa wawashirikisha viumbe vya Mwenyezi Mungu katika ibada ya Mwenyezi Mungu, hali washirikishwa hao hawawezi kuumba chochote, bali wao wameumbwa
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek