Quran with Swahili translation - Surah An-Nazi‘at ayat 22 - النَّازعَات - Page - Juz 30
﴿ثُمَّ أَدۡبَرَ يَسۡعَىٰ ﴾
[النَّازعَات: 22]
﴿ثم أدبر يسعى﴾ [النَّازعَات: 22]
Abdullah Muhammad Abu Bakr Kisha alikengeuka hali ya kuipa mgongo Imani na kufanya bidii katika kumpinga Mūsā |