×

Na aondoe hasira ya nyoyo zao. Na Mwenyezi Mungu humkubalia toba ya 9:15 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah At-Taubah ⮕ (9:15) ayat 15 in Swahili

9:15 Surah At-Taubah ayat 15 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah At-Taubah ayat 15 - التوبَة - Page - Juz 10

﴿وَيُذۡهِبۡ غَيۡظَ قُلُوبِهِمۡۗ وَيَتُوبُ ٱللَّهُ عَلَىٰ مَن يَشَآءُۗ وَٱللَّهُ عَلِيمٌ حَكِيمٌ ﴾
[التوبَة: 15]

Na aondoe hasira ya nyoyo zao. Na Mwenyezi Mungu humkubalia toba ya amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye kujua Mwenye hikima

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ويذهب غيظ قلوبهم ويتوب الله على من يشاء والله عليم حكيم, باللغة السواحيلية

﴿ويذهب غيظ قلوبهم ويتوب الله على من يشاء والله عليم حكيم﴾ [التوبَة: 15]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na Ataziondoa hasira kwenye nyoyo za Waumini. Na yoyote mwenye kutubia, miongoni mwa wajeuri hawa, basi Mwenyezi mungu Humkubalia toba amtakaye. Na Mwenyezi Mungu ni Mwingi wa ujuzi wa ukweli wa toba ya mwenye kutubia, ni Mwingi wa hekima katika uendeshaji Wake mambo, utengenezaji Wake na sheria Zake Alizowaekea waja Wake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek