×

Tena je! Ikisha tokea mtaiamini? Je! Ndio sasa tena? Na nyinyi mlikuwa 10:51 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Yunus ⮕ (10:51) ayat 51 in Swahili

10:51 Surah Yunus ayat 51 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Yunus ayat 51 - يُونس - Page - Juz 11

﴿أَثُمَّ إِذَا مَا وَقَعَ ءَامَنتُم بِهِۦٓۚ ءَآلۡـَٰٔنَ وَقَدۡ كُنتُم بِهِۦ تَسۡتَعۡجِلُونَ ﴾
[يُونس: 51]

Tena je! Ikisha tokea mtaiamini? Je! Ndio sasa tena? Na nyinyi mlikuwa mkiihimiza

❮ Previous Next ❯

ترجمة: أثم إذا ما وقع آمنتم به آلآن وقد كنتم به تستعجلون, باللغة السواحيلية

﴿أثم إذا ما وقع آمنتم به آلآن وقد كنتم به تستعجلون﴾ [يُونس: 51]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Je, baada ya kushuka adhabu ya Mwenyezi Mungu kwenu, enyi washirikina, ndipo mtaamini, wakati ambapo Imani haitawafaa? Wakati huo mtaambiwa, ‘Je, sasa ndipo mnaamini na hapo nyuma mlikuwa mnaifanyia haraka?’»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek