×

Hakika wale ambao neno la Mola wako Mlezi limekwisha thibitika juu yao, 10:96 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Yunus ⮕ (10:96) ayat 96 in Swahili

10:96 Surah Yunus ayat 96 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Yunus ayat 96 - يُونس - Page - Juz 11

﴿إِنَّ ٱلَّذِينَ حَقَّتۡ عَلَيۡهِمۡ كَلِمَتُ رَبِّكَ لَا يُؤۡمِنُونَ ﴾
[يُونس: 96]

Hakika wale ambao neno la Mola wako Mlezi limekwisha thibitika juu yao, hawataamini

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن الذين حقت عليهم كلمت ربك لا يؤمنون, باللغة السواحيلية

﴿إن الذين حقت عليهم كلمت ربك لا يؤمنون﴾ [يُونس: 96]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika ya wale ambao limethibiti kwao neno la Mola Wako la kuwafukuza kwenye rehema Yake na kuwaadhibu, hawaziamini hoja za Mwenyezi Mungu, hawaukubali upweke Wake wala hawazifuati sheria Zake kivitendo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek