×

Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua 100:1 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-‘adiyat ⮕ (100:1) ayat 1 in Swahili

100:1 Surah Al-‘adiyat ayat 1 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-‘adiyat ayat 1 - العَاديَات - Page - Juz 30

﴿وَٱلۡعَٰدِيَٰتِ ضَبۡحٗا ﴾
[العَاديَات: 1]

Naapa kwa farasi wendao mbio wakipumua

❮ Previous Next ❯

ترجمة: والعاديات ضبحا, باللغة السواحيلية

﴿والعاديات ضبحا﴾ [العَاديَات: 1]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Mwenyezi Mungu Anaapa kwa farasi wenye kwenda shoti katika njia Yake kumkabili adui, wakitoa sauti kwa kasi ya kukimbia. Haifai kwa kiumbe kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu. Kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni ushirikina
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek