×

Na tumekwisha bainisha katika Qur'ani hii ili wapate kukumbuka. Lakini haikuwazidisha ila 17:41 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Isra’ ⮕ (17:41) ayat 41 in Swahili

17:41 Surah Al-Isra’ ayat 41 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Isra’ ayat 41 - الإسرَاء - Page - Juz 15

﴿وَلَقَدۡ صَرَّفۡنَا فِي هَٰذَا ٱلۡقُرۡءَانِ لِيَذَّكَّرُواْ وَمَا يَزِيدُهُمۡ إِلَّا نُفُورٗا ﴾
[الإسرَاء: 41]

Na tumekwisha bainisha katika Qur'ani hii ili wapate kukumbuka. Lakini haikuwazidisha ila kuwa mbali nayo

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولقد صرفنا في هذا القرآن ليذكروا وما يزيدهم إلا نفورا, باللغة السواحيلية

﴿ولقد صرفنا في هذا القرآن ليذكروا وما يزيدهم إلا نفورا﴾ [الإسرَاء: 41]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika tumeelza katika hii Qur’ani aina mbalimbali za hukumu, mifano na mawaidha, ili watu wapate kuwaidhika na kuzingatia yanayowafaa wayachukue na yenye kuwadhuru wayaache. Na haya maelezo na ufafanuzi hayawaongezei madhalimu isipokuwa kuwa mbali na haki na kughafilika kutia mambo akilini na kuzingatia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek