×

Huenda ukajihiliki nafsi yako kwa ajili yao, kuwasikitikia kwa kuwa hawayaamini mazungumzo 18:6 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Kahf ⮕ (18:6) ayat 6 in Swahili

18:6 Surah Al-Kahf ayat 6 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Kahf ayat 6 - الكَهف - Page - Juz 15

﴿فَلَعَلَّكَ بَٰخِعٞ نَّفۡسَكَ عَلَىٰٓ ءَاثَٰرِهِمۡ إِن لَّمۡ يُؤۡمِنُواْ بِهَٰذَا ٱلۡحَدِيثِ أَسَفًا ﴾
[الكَهف: 6]

Huenda ukajihiliki nafsi yako kwa ajili yao, kuwasikitikia kwa kuwa hawayaamini mazungumzo haya

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فلعلك باخع نفسك على آثارهم إن لم يؤمنوا بهذا الحديث أسفا, باللغة السواحيلية

﴿فلعلك باخع نفسك على آثارهم إن لم يؤمنوا بهذا الحديث أسفا﴾ [الكَهف: 6]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Huenda wewe, ewe Mtume, ukajiangamiza nafsi yako kwa majonzi na masikitiko baada ya watu wako kukuepuka na kukupa mgongo, iwapo hawataiamini hii Qur’ani na kuifuata kivitendo
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek