×

Na atakaye jiepusha na mawaidha yangu, basi kwa yakini atapata maisha yenye 20:124 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ta-Ha ⮕ (20:124) ayat 124 in Swahili

20:124 Surah Ta-Ha ayat 124 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ta-Ha ayat 124 - طه - Page - Juz 16

﴿وَمَنۡ أَعۡرَضَ عَن ذِكۡرِي فَإِنَّ لَهُۥ مَعِيشَةٗ ضَنكٗا وَنَحۡشُرُهُۥ يَوۡمَ ٱلۡقِيَٰمَةِ أَعۡمَىٰ ﴾
[طه: 124]

Na atakaye jiepusha na mawaidha yangu, basi kwa yakini atapata maisha yenye dhiki, na Siku ya Kiyama tutamfufua hali ya kuwa kipofu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ومن أعرض عن ذكري فإن له معيشة ضنكا ونحشره يوم القيامة أعمى, باللغة السواحيلية

﴿ومن أعرض عن ذكري فإن له معيشة ضنكا ونحشره يوم القيامة أعمى﴾ [طه: 124]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na mwenye kuupa mgongo utajo wangu ambao ninamkumbusha nao, atakuwa na maisha ya dhiki na usumbufu katika uhai wa kilimwengu, hata kama inaonekana kuwa yeye ni miongoni mwa watu wa utajiri na nafasi, na kaburi yake itambana na aadhibiwe humo, na tutamfufua Siku ya Kiyama akiwa kipofu wa kutoona na wa hoja
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek