×

Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi 21:105 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anbiya’ ⮕ (21:105) ayat 105 in Swahili

21:105 Surah Al-Anbiya’ ayat 105 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anbiya’ ayat 105 - الأنبيَاء - Page - Juz 17

﴿وَلَقَدۡ كَتَبۡنَا فِي ٱلزَّبُورِ مِنۢ بَعۡدِ ٱلذِّكۡرِ أَنَّ ٱلۡأَرۡضَ يَرِثُهَا عِبَادِيَ ٱلصَّٰلِحُونَ ﴾
[الأنبيَاء: 105]

Na hakika tulikwisha andika katika Zaburi baada ya Kumbukumbu, ya kwamba nchi watairithi waja wangu walio wema

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولقد كتبنا في الزبور من بعد الذكر أن الأرض يرثها عبادي الصالحون, باللغة السواحيلية

﴿ولقد كتبنا في الزبور من بعد الذكر أن الأرض يرثها عبادي الصالحون﴾ [الأنبيَاء: 105]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na kwa hakika, tuliandika kwenye vitabu vilivyoteremshwa, baada ya kuwa yashaandikwa katika Ubao Uliohifadhiwa, kwamba ardhi watairithi waja wa Mwenyezi Mungu walio wema, wale wanaosimama imara kwa yale waliyoamrishwa na wakajiepusha na yale waliyokatazwa, nao ni ummah wa Muhammad, rehema na amani ya Mwenyezi Mungu zishukiye
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek