×

Na wanapo itwa kumuendea Mwenyezi Mungu na Mtume wake ili ahukumu baina 24:48 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nur ⮕ (24:48) ayat 48 in Swahili

24:48 Surah An-Nur ayat 48 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nur ayat 48 - النور - Page - Juz 18

﴿وَإِذَا دُعُوٓاْ إِلَى ٱللَّهِ وَرَسُولِهِۦ لِيَحۡكُمَ بَيۡنَهُمۡ إِذَا فَرِيقٞ مِّنۡهُم مُّعۡرِضُونَ ﴾
[النور: 48]

Na wanapo itwa kumuendea Mwenyezi Mungu na Mtume wake ili ahukumu baina yao, kipo kikundi katika wao kinakataa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وإذا دعوا إلى الله ورسوله ليحكم بينهم إذا فريق منهم معرضون, باللغة السواحيلية

﴿وإذا دعوا إلى الله ورسوله ليحكم بينهم إذا فريق منهم معرضون﴾ [النور: 48]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wanapoitwa, wanapokuwa kwenye ugomvi baina yao, kwenye hukumu iliyo ndani ya Kitabu cha Mwenyezi Mungu na waje kwa Mtume ili afanye uamuzi kati yao, ghafula hujitokeza kikundi kati yao kikajiepusha na kikawa hakikubali hukumu ya Mwenyezi Mungu na Mtume Wake, pamoja na kuwa hiyo ndiyo haki isiyo na shaka
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek