×

Basi alipo ufikia aliitwa kutoka ng'ambo ya bonde la kuliani katika eneo 28:30 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Qasas ⮕ (28:30) ayat 30 in Swahili

28:30 Surah Al-Qasas ayat 30 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Qasas ayat 30 - القَصَص - Page - Juz 20

﴿فَلَمَّآ أَتَىٰهَا نُودِيَ مِن شَٰطِيِٕ ٱلۡوَادِ ٱلۡأَيۡمَنِ فِي ٱلۡبُقۡعَةِ ٱلۡمُبَٰرَكَةِ مِنَ ٱلشَّجَرَةِ أَن يَٰمُوسَىٰٓ إِنِّيٓ أَنَا ٱللَّهُ رَبُّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ﴾
[القَصَص: 30]

Basi alipo ufikia aliitwa kutoka ng'ambo ya bonde la kuliani katika eneo lilio barikiwa kutoka kwenye mti: Ewe Musa! Hakika Mimi ni Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote

❮ Previous Next ❯

ترجمة: فلما أتاها نودي من شاطئ الواد الأيمن في البقعة المباركة من الشجرة, باللغة السواحيلية

﴿فلما أتاها نودي من شاطئ الواد الأيمن في البقعة المباركة من الشجرة﴾ [القَصَص: 30]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Basi Mūsā alipoujia moto, Mwenyezi Mungu Alimuita kutoka upande wa bonde la mkono wa kulia wa Mūsā, katika ardhi iliyobarikiwa ya upande wa mti kwamba: «Ewe Mūsā! Mimi Ndiye Mwenyezi Mungu, Mola wa viumbe wote,»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek