×

Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Kwa nini mnakanusha ishara za Mwenyezi Mungu, 3:98 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah al-‘Imran ⮕ (3:98) ayat 98 in Swahili

3:98 Surah al-‘Imran ayat 98 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah al-‘Imran ayat 98 - آل عِمران - Page - Juz 4

﴿قُلۡ يَٰٓأَهۡلَ ٱلۡكِتَٰبِ لِمَ تَكۡفُرُونَ بِـَٔايَٰتِ ٱللَّهِ وَٱللَّهُ شَهِيدٌ عَلَىٰ مَا تَعۡمَلُونَ ﴾
[آل عِمران: 98]

Sema: Enyi Watu wa Kitabu! Kwa nini mnakanusha ishara za Mwenyezi Mungu, na ilhali kuwa Mwenyezi Mungu ni Shahidi kwa yote mnayo yatenda

❮ Previous Next ❯

ترجمة: قل ياأهل الكتاب لم تكفرون بآيات الله والله شهيد على ما تعملون, باللغة السواحيلية

﴿قل ياأهل الكتاب لم تكفرون بآيات الله والله شهيد على ما تعملون﴾ [آل عِمران: 98]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Sema, ewe Mtume, kuwaambia waliepewa vitabu kati ya Mayahudi na Wanaswara, «Kwa nini mnazikanusha hoja za Mwenyezi Mungu zinazojulisha kwamba dini ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu na mnayakanusha yaliyomo kwenye vitabu vyenu miongoni mwa dalili na hoja juu ya hilo hali ya kuwa nyinyi mnajua? Na Mwenyezi Mungu ni shahidi juu ya kitendo chenu mnachokifanya.» Katika haya, pana makemeo na ahadi ya adhabu kwao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek