×

Ili Yeye awalipe ujira wao kwa ukamilifu, na awazidishie kutokana na fadhila 35:30 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah FaTir ⮕ (35:30) ayat 30 in Swahili

35:30 Surah FaTir ayat 30 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah FaTir ayat 30 - فَاطِر - Page - Juz 22

﴿لِيُوَفِّيَهُمۡ أُجُورَهُمۡ وَيَزِيدَهُم مِّن فَضۡلِهِۦٓۚ إِنَّهُۥ غَفُورٞ شَكُورٞ ﴾
[فَاطِر: 30]

Ili Yeye awalipe ujira wao kwa ukamilifu, na awazidishie kutokana na fadhila zake. Hakika Yeye ni Mwenye kusamehe Mwenye shukrani

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ليوفيهم أجورهم ويزيدهم من فضله إنه غفور شكور, باللغة السواحيلية

﴿ليوفيهم أجورهم ويزيدهم من فضله إنه غفور شكور﴾ [فَاطِر: 30]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Ili Awatimizie Mwenyezi Mungu, Aliyetukuka, malipo mema ya matendo yao yakiwa kamili bila kupunguzwa, na wataongezewa mema kwa fadhila Zake. Hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehefu sana wa makosa yao, ni Mwingi wa shukrani kwa mema yao, Atawalipa kwa mema hayo malipo mazuri mengi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek