×

Wafuateni ambao hawakutakini ujira, hali ya kuwa wenyewe wameongoka 36:21 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ya-Sin ⮕ (36:21) ayat 21 in Swahili

36:21 Surah Ya-Sin ayat 21 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ya-Sin ayat 21 - يسٓ - Page - Juz 23

﴿ٱتَّبِعُواْ مَن لَّا يَسۡـَٔلُكُمۡ أَجۡرٗا وَهُم مُّهۡتَدُونَ ﴾
[يسٓ: 21]

Wafuateni ambao hawakutakini ujira, hali ya kuwa wenyewe wameongoka

❮ Previous Next ❯

ترجمة: اتبعوا من لا يسألكم أجرا وهم مهتدون, باللغة السواحيلية

﴿اتبعوا من لا يسألكم أجرا وهم مهتدون﴾ [يسٓ: 21]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Wafuateni wale wasiotaka mali kutoka kwenu kwa kufikisha Ujumbe na hali wao wako kwenye uongofu katika kile wanachowaitia cha kumuabudu Mwenyezi Mungu Peke Yake.» Katika hii kuna kueleza ubora wa mwenye kukimbilia kuamrisha mema na kukataza maovu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek