×

Na akaja mtu mbio kutokea upande wa mbali wa mjini, akasema: Enyi 36:20 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ya-Sin ⮕ (36:20) ayat 20 in Swahili

36:20 Surah Ya-Sin ayat 20 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ya-Sin ayat 20 - يسٓ - Page - Juz 22

﴿وَجَآءَ مِنۡ أَقۡصَا ٱلۡمَدِينَةِ رَجُلٞ يَسۡعَىٰ قَالَ يَٰقَوۡمِ ٱتَّبِعُواْ ٱلۡمُرۡسَلِينَ ﴾
[يسٓ: 20]

Na akaja mtu mbio kutokea upande wa mbali wa mjini, akasema: Enyi watu wangu! Wafuateni hawa walio tumwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وجاء من أقصى المدينة رجل يسعى قال ياقوم اتبعوا المرسلين, باللغة السواحيلية

﴿وجاء من أقصى المدينة رجل يسعى قال ياقوم اتبعوا المرسلين﴾ [يسٓ: 20]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na akaja mtu kwa haraka kutoka mahali mbali mjini (Napo ni pale ilipojulikana kwamba watu wa kijiji wameazimia kuwaua wajumbe au kuwaadhibu) akasema, «Enyi watu wangu! Wafuateni wajumbe mlioletewa kutoka kwa Mwenyezi Mungu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek