Quran with Swahili translation - Surah Ya-Sin ayat 46 - يسٓ - Page - Juz 23
﴿وَمَا تَأۡتِيهِم مِّنۡ ءَايَةٖ مِّنۡ ءَايَٰتِ رَبِّهِمۡ إِلَّا كَانُواْ عَنۡهَا مُعۡرِضِينَ ﴾
[يسٓ: 46]
﴿وما تأتيهم من آية من آيات ربهم إلا كانوا عنها معرضين﴾ [يسٓ: 46]
Abdullah Muhammad Abu Bakr Na huwajii, hawa washirikina, na alama yoyote iliyo wazi kutoka kwa Mola wao, ili uwaongoze kwenye haki na uwabainishie ukweli wa Mtume, isipokuwa wanaipa mgongo na wasinufaike nayo |