×

Wao walipo kuwa wakiambiwa La ilaha illa 'Llahu Hapana mungu ila Mwenyezi 37:35 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah As-saffat ⮕ (37:35) ayat 35 in Swahili

37:35 Surah As-saffat ayat 35 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah As-saffat ayat 35 - الصَّافَات - Page - Juz 23

﴿إِنَّهُمۡ كَانُوٓاْ إِذَا قِيلَ لَهُمۡ لَآ إِلَٰهَ إِلَّا ٱللَّهُ يَسۡتَكۡبِرُونَ ﴾
[الصَّافَات: 35]

Wao walipo kuwa wakiambiwa La ilaha illa 'Llahu Hapana mungu ila Mwenyezi Mungu tu, wakijivuna

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إنهم كانوا إذا قيل لهم لا إله إلا الله يستكبرون, باللغة السواحيلية

﴿إنهم كانوا إذا قيل لهم لا إله إلا الله يستكبرون﴾ [الصَّافَات: 35]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika wale washirikina walikuwa duniani wakiambiwa, «Hapana mola anayepasa kuabudiwa kwa haki isipokuwa Mwenyezi Mungu,» na wakaitwa kwenye mwito huo na wakaamrishwa kuyaacha yanayopingana nao, wanaufanyia kiburi na kumfanyia kiburi aliyekuja nao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek