×

Na tukampa ahali zake na wengine kama wao pamoja nao, kuwa ni 38:43 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah sad ⮕ (38:43) ayat 43 in Swahili

38:43 Surah sad ayat 43 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah sad ayat 43 - صٓ - Page - Juz 23

﴿وَوَهَبۡنَا لَهُۥٓ أَهۡلَهُۥ وَمِثۡلَهُم مَّعَهُمۡ رَحۡمَةٗ مِّنَّا وَذِكۡرَىٰ لِأُوْلِي ٱلۡأَلۡبَٰبِ ﴾
[صٓ: 43]

Na tukampa ahali zake na wengine kama wao pamoja nao, kuwa ni rehema itokayo kwetu, na iwe kumbusho kwa watu wenye akili

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ووهبنا له أهله ومثلهم معهم رحمة منا وذكرى لأولي الألباب, باللغة السواحيلية

﴿ووهبنا له أهله ومثلهم معهم رحمة منا وذكرى لأولي الألباب﴾ [صٓ: 43]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Tukamuondolea shida yake na tukamtukuza, na tukamtunukia watu wake : mke na watoto, na tukamuongezea wana na wajukuu mfano wao. Yote hayo yalikuwa ni huruma kutoka kwetu na takrima kwake kwa uvumilivu wake, na pia ni mazingatio kwa wenye akili timamu, wapate kujua kwamba mwisho wa subira ni faraja na kuondokewa na shida
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek