×

Na bila ya shaka walikwisha kanusha walio kuwa kabla yao; basi kulikuwaje 67:18 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Mulk ⮕ (67:18) ayat 18 in Swahili

67:18 Surah Al-Mulk ayat 18 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Mulk ayat 18 - المُلك - Page - Juz 29

﴿وَلَقَدۡ كَذَّبَ ٱلَّذِينَ مِن قَبۡلِهِمۡ فَكَيۡفَ كَانَ نَكِيرِ ﴾
[المُلك: 18]

Na bila ya shaka walikwisha kanusha walio kuwa kabla yao; basi kulikuwaje kukasirika kwangu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولقد كذب الذين من قبلهم فكيف كان نكير, باللغة السواحيلية

﴿ولقد كذب الذين من قبلهم فكيف كان نكير﴾ [المُلك: 18]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kwa hakika walikanusha wale waliokuwa kabla ya makafiri wa Makkah kama vile watu wa Nuchouh, 'Ād na Thamūd walivyowakanusha Mitume wao. Basi kulikuwa namna gani kule kuwakasirikia kwangu na kuwageuzia kwangu neema waliyokuwa nayo kwa kuwateremshia adhabu na kuwaangamiza
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek