Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 67 - الأعرَاف - Page - Juz 8
﴿قَالَ يَٰقَوۡمِ لَيۡسَ بِي سَفَاهَةٞ وَلَٰكِنِّي رَسُولٞ مِّن رَّبِّ ٱلۡعَٰلَمِينَ ﴾
[الأعرَاف: 67]
﴿قال ياقوم ليس بي سفاهة ولكني رسول من رب العالمين﴾ [الأعرَاف: 67]
Abdullah Muhammad Abu Bakr Hūd akasema, «Enyi watu wangu, sina upungufu katika akili yangu, isipokuwa mimi ni mjumbe kutoka kwa Mola wa viumbe wote |