×

Wakasema watukufu wa wale walio kufuru katika kaumu yake: Sisi tunakuona umo 7:66 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:66) ayat 66 in Swahili

7:66 Surah Al-A‘raf ayat 66 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 66 - الأعرَاف - Page - Juz 8

﴿قَالَ ٱلۡمَلَأُ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ مِن قَوۡمِهِۦٓ إِنَّا لَنَرَىٰكَ فِي سَفَاهَةٖ وَإِنَّا لَنَظُنُّكَ مِنَ ٱلۡكَٰذِبِينَ ﴾
[الأعرَاف: 66]

Wakasema watukufu wa wale walio kufuru katika kaumu yake: Sisi tunakuona umo katika upumbavu, na hakika sisi tunakufikiria kuwa wewe ni katika waongo

❮ Previous Next ❯

ترجمة: قال الملأ الذين كفروا من قومه إنا لنراك في سفاهة وإنا لنظنك, باللغة السواحيلية

﴿قال الملأ الذين كفروا من قومه إنا لنراك في سفاهة وإنا لنظنك﴾ [الأعرَاف: 66]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Wakasema wale viongozi waliokufuru katika watu wa Hūd, «Sisi tunajua kwamba wewe, kwa kutuita sisi kuacha kuabudu waungu wetu na kumuabudu Mwenyezi Mungu, Peke Yake, ni mpungufu wa akili, na sisi tunaamini kwamba wewe, kwa hayo usemayo, ni katika wale wanaomzuluia Mwenyezi Mungu warongo.»
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek