×

Na Siku hiyo kipimo kitakuwa kwa Haki. Basi watakao kuwa na uzani 7:8 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-A‘raf ⮕ (7:8) ayat 8 in Swahili

7:8 Surah Al-A‘raf ayat 8 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-A‘raf ayat 8 - الأعرَاف - Page - Juz 8

﴿وَٱلۡوَزۡنُ يَوۡمَئِذٍ ٱلۡحَقُّۚ فَمَن ثَقُلَتۡ مَوَٰزِينُهُۥ فَأُوْلَٰٓئِكَ هُمُ ٱلۡمُفۡلِحُونَ ﴾
[الأعرَاف: 8]

Na Siku hiyo kipimo kitakuwa kwa Haki. Basi watakao kuwa na uzani mzito, hao ndio watakao fanikiwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: والوزن يومئذ الحق فمن ثقلت موازينه فأولئك هم المفلحون, باللغة السواحيلية

﴿والوزن يومئذ الحق فمن ثقلت موازينه فأولئك هم المفلحون﴾ [الأعرَاف: 8]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na kuvipima vitendo vya watu Siku ya Kiyama kutakuwa ni kwa mizani ya kikweli, kwa usawa na uhaki ambao hauna maonevu. Basi yoyote yule ambaye mizani za vitendo vyake zitakuwa nzito, kwa wingi wa mema yake, hao ndio watakaofaulu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek