Quran with Swahili translation - Surah Al-Qiyamah ayat 36 - القِيَامة - Page - Juz 29
﴿أَيَحۡسَبُ ٱلۡإِنسَٰنُ أَن يُتۡرَكَ سُدًى ﴾
[القِيَامة: 36]
﴿أيحسب الإنسان أن يترك سدى﴾ [القِيَامة: 36]
Abdullah Muhammad Abu Bakr Je anadhani huyu binadamu anayekanusha kufufuliwa kuwa ataachwa bure: haamrishwi wala hakatazwi, hahesabiwi wala hateswi |