×

Na wengi wao hawafuati ila dhana tu. Na dhana haifai kitu mbele 10:36 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Yunus ⮕ (10:36) ayat 36 in Swahili

10:36 Surah Yunus ayat 36 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Yunus ayat 36 - يُونس - Page - Juz 11

﴿وَمَا يَتَّبِعُ أَكۡثَرُهُمۡ إِلَّا ظَنًّاۚ إِنَّ ٱلظَّنَّ لَا يُغۡنِي مِنَ ٱلۡحَقِّ شَيۡـًٔاۚ إِنَّ ٱللَّهَ عَلِيمُۢ بِمَا يَفۡعَلُونَ ﴾
[يُونس: 36]

Na wengi wao hawafuati ila dhana tu. Na dhana haifai kitu mbele ya haki. Hakika Mwenyezi Mungu anajua yote wanayo yatenda

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وما يتبع أكثرهم إلا ظنا إن الظن لا يغني من الحق شيئا, باللغة السواحيلية

﴿وما يتبع أكثرهم إلا ظنا إن الظن لا يغني من الحق شيئا﴾ [يُونس: 36]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na wengi wa washirikina hawa hawafuati, katika kuwafanya masanamu ni waungu na kuitakidi kwao kwamba hao masanamu wanawaleta karibu na Mwenyezi Mungu, isipokuwa urongo na dhana, nazo hazifai kitu mbele ya ukweli. Hakika Mwenyezi Mungu ni Mjuzi wa wanayoyafanya washirikina hawa ya ukafiri na kukanusha
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek