×

Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa 10:56 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Yunus ⮕ (10:56) ayat 56 in Swahili

10:56 Surah Yunus ayat 56 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Yunus ayat 56 - يُونس - Page - Juz 11

﴿هُوَ يُحۡيِۦ وَيُمِيتُ وَإِلَيۡهِ تُرۡجَعُونَ ﴾
[يُونس: 56]

Yeye ndiye anaye fufua na anaye fisha. Na kwake mtarejeshwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: هو يحيي ويميت وإليه ترجعون, باللغة السواحيلية

﴿هو يحيي ويميت وإليه ترجعون﴾ [يُونس: 56]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika Mwenyezi Mungu Ndiye Mwenye kuhuisha na Mwenye kufisha, Hashindwi kuwahuisha watu baada ya kufa kwao, kama ambavyo hakumshindi Yeye kuwafisha Atakapo hilo. Na wao ni wenye kurejea Kwake baada ya kufa kwao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek