×

Hakika katika kukhitalifiana usiku na mchana, na katika alivyo umba Mwenyezi Mungu 10:6 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Yunus ⮕ (10:6) ayat 6 in Swahili

10:6 Surah Yunus ayat 6 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Yunus ayat 6 - يُونس - Page - Juz 11

﴿إِنَّ فِي ٱخۡتِلَٰفِ ٱلَّيۡلِ وَٱلنَّهَارِ وَمَا خَلَقَ ٱللَّهُ فِي ٱلسَّمَٰوَٰتِ وَٱلۡأَرۡضِ لَأٓيَٰتٖ لِّقَوۡمٖ يَتَّقُونَ ﴾
[يُونس: 6]

Hakika katika kukhitalifiana usiku na mchana, na katika alivyo umba Mwenyezi Mungu katika mbingu na ardhi, zipo Ishara kwa watu wanao mcha-Mngu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن في اختلاف الليل والنهار وما خلق الله في السموات والأرض لآيات, باللغة السواحيلية

﴿إن في اختلاف الليل والنهار وما خلق الله في السموات والأرض لآيات﴾ [يُونس: 6]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika katika kupishana usiku na mchana na Alichokiumba Mwenyezi Mungu, katika mbingu na ardhi na zilizomo ndani yake zilizopangika na kutengenezeka miongoni mwa maajabu ya uumbaji, ni dalili na hoja zilizo wazi kwa watu wanaoogopa mateso ya Mwenyezi Mungu, ghadhabu Zake na adhabu Yake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek