×

Hizi ni katika khabari za miji, tunakusimulia. Mingine ipo bado na mingine 11:100 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Hud ⮕ (11:100) ayat 100 in Swahili

11:100 Surah Hud ayat 100 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Hud ayat 100 - هُود - Page - Juz 12

﴿ذَٰلِكَ مِنۡ أَنۢبَآءِ ٱلۡقُرَىٰ نَقُصُّهُۥ عَلَيۡكَۖ مِنۡهَا قَآئِمٞ وَحَصِيدٞ ﴾
[هُود: 100]

Hizi ni katika khabari za miji, tunakusimulia. Mingine ipo bado na mingine imefyekwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ذلك من أنباء القرى نقصه عليك منها قائم وحصيد, باللغة السواحيلية

﴿ذلك من أنباء القرى نقصه عليك منها قائم وحصيد﴾ [هُود: 100]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Haya tuliyokutajia wewe, ewe Mtume, ni miongoni mwa habari za watu wa miji ambayo tuliwaangamiza watu wake, twakupasha habari zake. Na miongoni mwa miji hiyo kuna iliyo na athari zilizosalia; na miongoni mwazo kuna ambazo athari zake zimefutika, hakuna chochote katika hizo kilichosalia
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek