×

Alif Lam Ra. (A. L. R.) Hichi ni Kitabu tulicho kiteremsha kwako 14:1 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Ibrahim ⮕ (14:1) ayat 1 in Swahili

14:1 Surah Ibrahim ayat 1 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Ibrahim ayat 1 - إبراهِيم - Page - Juz 13

﴿الٓرۚ كِتَٰبٌ أَنزَلۡنَٰهُ إِلَيۡكَ لِتُخۡرِجَ ٱلنَّاسَ مِنَ ٱلظُّلُمَٰتِ إِلَى ٱلنُّورِ بِإِذۡنِ رَبِّهِمۡ إِلَىٰ صِرَٰطِ ٱلۡعَزِيزِ ٱلۡحَمِيدِ ﴾
[إبراهِيم: 1]

Alif Lam Ra. (A. L. R.) Hichi ni Kitabu tulicho kiteremsha kwako ili uwatowe watu kwenye giza uwapeleke kwenye muwangaza, kwa idhini ya Mola wao Mlezi, uwafikishe kwenye Njia ya Mwenye nguvu, Msifiwa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: الر كتاب أنـزلناه إليك لتخرج الناس من الظلمات إلى النور بإذن ربهم, باللغة السواحيلية

﴿الر كتاب أنـزلناه إليك لتخرج الناس من الظلمات إلى النور بإذن ربهم﴾ [إبراهِيم: 1]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Alif, Lām, Rā. Hii Qur’ani ni kitabu tulichokuletea wahyi ili uwatoe binadamu kutoka kwenye upotevu na upotovu kuwapeleka kwenye uongofu na mwangaza, kwa idhini ya Mola wao na taufiki Yake kwao, kwenye Uislamu ambao ndio njia ya Mwenyezi Mungu Mwenye kushinda Anayehimidiwa kwa kila hali
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek