×

Na kama hivi ndivyo tunavyo ingiza katika nyoyo za wakosefu 15:12 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-hijr ⮕ (15:12) ayat 12 in Swahili

15:12 Surah Al-hijr ayat 12 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-hijr ayat 12 - الحِجر - Page - Juz 14

﴿كَذَٰلِكَ نَسۡلُكُهُۥ فِي قُلُوبِ ٱلۡمُجۡرِمِينَ ﴾
[الحِجر: 12]

Na kama hivi ndivyo tunavyo ingiza katika nyoyo za wakosefu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: كذلك نسلكه في قلوب المجرمين, باللغة السواحيلية

﴿كذلك نسلكه في قلوب المجرمين﴾ [الحِجر: 12]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kama tulivyoutia ukafiri kwenye nyoyo za ummah waliotangulia kwa sababu ya kuwafanyia shere Mitume na kuwakanusha, hivyo ndivyo tunavyofanya kwenye nyoyo za washirikina miongoni mwa watu wako waliofanya uhalifu wa kumkanusha Mwenyezi Mungu na kuwakanusha Mitume Wake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek