×

Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, 16:102 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nahl ⮕ (16:102) ayat 102 in Swahili

16:102 Surah An-Nahl ayat 102 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nahl ayat 102 - النَّحل - Page - Juz 14

﴿قُلۡ نَزَّلَهُۥ رُوحُ ٱلۡقُدُسِ مِن رَّبِّكَ بِٱلۡحَقِّ لِيُثَبِّتَ ٱلَّذِينَ ءَامَنُواْ وَهُدٗى وَبُشۡرَىٰ لِلۡمُسۡلِمِينَ ﴾
[النَّحل: 102]

Sema: Ameiteremsha hii Roho takatifu kutokana na Mola wako Mlezi kwa haki, ili awathibitishe wale walio amini, na kuwa ni uwongofu, na ni bishara kwa Waislamu

❮ Previous Next ❯

ترجمة: قل نـزله روح القدس من ربك بالحق ليثبت الذين آمنوا وهدى وبشرى, باللغة السواحيلية

﴿قل نـزله روح القدس من ربك بالحق ليثبت الذين آمنوا وهدى وبشرى﴾ [النَّحل: 102]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Waambie, ewe Mtume, Qurani haikuzuliwa na mimi, bali aliyeiteremsha ni Jibrili kutoka kwa Mola wako kwa ukweli na uadilifu ili kuwafanya Waumini wawe imara, kuwaongoza wao kutoka kwenye upotevu , na kuwapa bishara njema wale waliojisalimisha na kunyenyekea kwa Mwenyezi Mungu, Bwana wa viumbe wote
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek