×

Ni wale ambao juhudi yao katika maisha ya dunia imepotea bure, nao 18:104 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Kahf ⮕ (18:104) ayat 104 in Swahili

18:104 Surah Al-Kahf ayat 104 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Kahf ayat 104 - الكَهف - Page - Juz 16

﴿ٱلَّذِينَ ضَلَّ سَعۡيُهُمۡ فِي ٱلۡحَيَوٰةِ ٱلدُّنۡيَا وَهُمۡ يَحۡسَبُونَ أَنَّهُمۡ يُحۡسِنُونَ صُنۡعًا ﴾
[الكَهف: 104]

Ni wale ambao juhudi yao katika maisha ya dunia imepotea bure, nao wanadhani kwamba wanafanya kazi nzuri

❮ Previous Next ❯

ترجمة: الذين ضل سعيهم في الحياة الدنيا وهم يحسبون أنهم يحسنون صنعا, باللغة السواحيلية

﴿الذين ضل سعيهم في الحياة الدنيا وهم يحسبون أنهم يحسنون صنعا﴾ [الكَهف: 104]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Wao ni wale ambao matendo yao yalipotea katika maisha ya ulimwengu- nao ni washirikina wa watu wako na wengineo kati ya wale waliopotea njia ya sawa wasiwe kwenye uongofu wala usawa- na hali wao wanadhania kuwa wanayatengeneza matendo yao
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek