×

Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao 2:161 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Baqarah ⮕ (2:161) ayat 161 in Swahili

2:161 Surah Al-Baqarah ayat 161 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Baqarah ayat 161 - البَقَرَة - Page - Juz 2

﴿إِنَّ ٱلَّذِينَ كَفَرُواْ وَمَاتُواْ وَهُمۡ كُفَّارٌ أُوْلَٰٓئِكَ عَلَيۡهِمۡ لَعۡنَةُ ٱللَّهِ وَٱلۡمَلَٰٓئِكَةِ وَٱلنَّاسِ أَجۡمَعِينَ ﴾
[البَقَرَة: 161]

Hakika walio kufuru na wakafa hali ni makafiri, hao iko juu yao laana ya Mwenyezi Mungu na ya Malaika na ya watu wote

❮ Previous Next ❯

ترجمة: إن الذين كفروا وماتوا وهم كفار أولئك عليهم لعنة الله والملائكة والناس, باللغة السواحيلية

﴿إن الذين كفروا وماتوا وهم كفار أولئك عليهم لعنة الله والملائكة والناس﴾ [البَقَرَة: 161]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Hakika wale waliokanusha imani na wakaficha haki na wakaendelea hivyo mpaka kufa kwao, juu yao kuna laana ya Mwenyezi Mungu na Malaika na watu wote kwa kuwatoa kwenye rehema Yake
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek