×

Kisha mligeuka baada ya haya. Na lau kuwa si fadhila za Mwenyezi 2:64 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Baqarah ⮕ (2:64) ayat 64 in Swahili

2:64 Surah Al-Baqarah ayat 64 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Baqarah ayat 64 - البَقَرَة - Page - Juz 1

﴿ثُمَّ تَوَلَّيۡتُم مِّنۢ بَعۡدِ ذَٰلِكَۖ فَلَوۡلَا فَضۡلُ ٱللَّهِ عَلَيۡكُمۡ وَرَحۡمَتُهُۥ لَكُنتُم مِّنَ ٱلۡخَٰسِرِينَ ﴾
[البَقَرَة: 64]

Kisha mligeuka baada ya haya. Na lau kuwa si fadhila za Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema zake, mngeli kuwa miongoni mwa wenye kukhasirika

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ثم توليتم من بعد ذلك فلولا فضل الله عليكم ورحمته لكنتم من, باللغة السواحيلية

﴿ثم توليتم من بعد ذلك فلولا فضل الله عليكم ورحمته لكنتم من﴾ [البَقَرَة: 64]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Kisha mlienda kinyume na mkaasi mara nyingine, baada ya kuchukuwa ahadi ya mkazo na kunyanyuliwa jabali, kama desturi yenu daima. Na lau si wema wa Mwenyezi Mungu na rehema Yake kuikubali toba yenu na kuyasamehe makosa yenu, mungalikuwa ni wenye hasara ya duniani na ya Akhera
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek