×

Na haya ni makumbusho yaliyo barikiwa, tuliyo yateremsha. Basi je! Mnayakataa 21:50 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-Anbiya’ ⮕ (21:50) ayat 50 in Swahili

21:50 Surah Al-Anbiya’ ayat 50 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-Anbiya’ ayat 50 - الأنبيَاء - Page - Juz 17

﴿وَهَٰذَا ذِكۡرٞ مُّبَارَكٌ أَنزَلۡنَٰهُۚ أَفَأَنتُمۡ لَهُۥ مُنكِرُونَ ﴾
[الأنبيَاء: 50]

Na haya ni makumbusho yaliyo barikiwa, tuliyo yateremsha. Basi je! Mnayakataa

❮ Previous Next ❯

ترجمة: وهذا ذكر مبارك أنـزلناه أفأنتم له منكرون, باللغة السواحيلية

﴿وهذا ذكر مبارك أنـزلناه أفأنتم له منكرون﴾ [الأنبيَاء: 50]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na hii Qur’ani ambayo Mwenyezi Mungu Ameiteremsha kwa Mtume Wake Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukliye, ni ukumbusho kwa anayejikumbusha nayo na akatekeleza amri Zake na akajiepusha na makatazo Yake, ina kheri nyingi na manufaa makubwa. Je, mnaikanusha na hali ina upeo wa uwazi na ufunuzi
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek