×

Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila 22:3 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah Al-hajj ⮕ (22:3) ayat 3 in Swahili

22:3 Surah Al-hajj ayat 3 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah Al-hajj ayat 3 - الحج - Page - Juz 17

﴿وَمِنَ ٱلنَّاسِ مَن يُجَٰدِلُ فِي ٱللَّهِ بِغَيۡرِ عِلۡمٖ وَيَتَّبِعُ كُلَّ شَيۡطَٰنٖ مَّرِيدٖ ﴾
[الحج: 3]

Na miongoni mwa watu wapo wanao bishana juu ya Mwenyezi Mungu bila ya ilimu, na wanamfuata kila shet'ani aliye asi

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ومن الناس من يجادل في الله بغير علم ويتبع كل شيطان مريد, باللغة السواحيلية

﴿ومن الناس من يجادل في الله بغير علم ويتبع كل شيطان مريد﴾ [الحج: 3]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na baadhi ya vichwa vya ukafiri miongoni mwa watu wanaleta utesi na wanatilia shaka uweza wa Mwenyezi Mungu wa kufufua, kwa ujinga wao wa kutojua uhakika wa uweza huu na kwa kumfuata kila shetani mwenye kumuasi Mwenyezi Mungu na Mitume Wake kati ya viongozi wa upotevu
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek