×

Na mara ya tano ya kwamba ghadhabu ya Mwenyezi Mungu iwe juu 24:9 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nur ⮕ (24:9) ayat 9 in Swahili

24:9 Surah An-Nur ayat 9 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nur ayat 9 - النور - Page - Juz 18

﴿وَٱلۡخَٰمِسَةَ أَنَّ غَضَبَ ٱللَّهِ عَلَيۡهَآ إِن كَانَ مِنَ ٱلصَّٰدِقِينَ ﴾
[النور: 9]

Na mara ya tano ya kwamba ghadhabu ya Mwenyezi Mungu iwe juu yake kama mumewe yu miongoni mwa wanao sema kweli

❮ Previous Next ❯

ترجمة: والخامسة أن غضب الله عليها إن كان من الصادقين, باللغة السواحيلية

﴿والخامسة أن غضب الله عليها إن كان من الصادقين﴾ [النور: 9]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na aongeze katika ushahidi wake wa mara ya tano kwa kujiapiza kuwa anapaswa kushukiwa na hasira za Mwenyezimngu iwapo mumewe ni mkweli katika madai yake kuwa yeye amezini. Na katika hali hii watatenganishwa baina ya wao wawili
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek