×

Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema 24:10 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nur ⮕ (24:10) ayat 10 in Swahili

24:10 Surah An-Nur ayat 10 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nur ayat 10 - النور - Page - Juz 18

﴿وَلَوۡلَا فَضۡلُ ٱللَّهِ عَلَيۡكُمۡ وَرَحۡمَتُهُۥ وَأَنَّ ٱللَّهَ تَوَّابٌ حَكِيمٌ ﴾
[النور: 10]

Na lau kuwa si fadhila ya Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema yake, na ya kuwa Mwenyezi Mungu ni Mpokeaji toba

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ولولا فضل الله عليكم ورحمته وأن الله تواب حكيم, باللغة السواحيلية

﴿ولولا فضل الله عليكم ورحمته وأن الله تواب حكيم﴾ [النور: 10]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na lau kama si wema wa Mwenyezi Mungu juu yenu na rehema Zake kwenu, enyi Waumini, kwa mapitisho haya ya kisheria kwa waume na wake, na kwamba Mwenyezi Mungu ni Mwenye kuitikia toba kwa aliyetubia miongoni mwa waja wake ni Mwingi wa hekima katika sheria Zake na maongozi Yake, basi yangalimpata mmoja wa wale wawili wanaolaaniana yale aliyojiapiza
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek