×

Na mke itamwondokea adhabu kwa kutoa shahada mara nne kwa kiapo cha 24:8 Swahili translation

Quran infoSwahiliSurah An-Nur ⮕ (24:8) ayat 8 in Swahili

24:8 Surah An-Nur ayat 8 in Swahili (السواحيلية)

Quran with Swahili translation - Surah An-Nur ayat 8 - النور - Page - Juz 18

﴿وَيَدۡرَؤُاْ عَنۡهَا ٱلۡعَذَابَ أَن تَشۡهَدَ أَرۡبَعَ شَهَٰدَٰتِۭ بِٱللَّهِ إِنَّهُۥ لَمِنَ ٱلۡكَٰذِبِينَ ﴾
[النور: 8]

Na mke itamwondokea adhabu kwa kutoa shahada mara nne kwa kiapo cha Mwenyezi Mungu ya kwamba huyu mume ni miongoni mwa waongo

❮ Previous Next ❯

ترجمة: ويدرأ عنها العذاب أن تشهد أربع شهادات بالله إنه لمن الكاذبين, باللغة السواحيلية

﴿ويدرأ عنها العذاب أن تشهد أربع شهادات بالله إنه لمن الكاذبين﴾ [النور: 8]

Abdullah Muhammad Abu Bakr
Na kwa ushahidi wake huu, itapasa kwa yule mke aliyetuhumiwa kutiwa adabu ya uzinifu, nayo ni kupigwa mawe mpaka kufa. Na haitamuepukia adabu hii mpaka atoe ushahidi wa kupinga ule ushahidi wa mumewe, mara nne kwa jina la Mwenyezi Mungu kwamba mumewe ni mrongo katika madai yake kuwa yeye amezini
❮ Previous Next ❯

Verse in more languages

Transliteration Bangla Bosnian German English Persian French Hindi Indonesian Kazakh Dutch Russian Spanish Turkish Urdu Uzbek